SITEKETEI LYRICS- ANGEL BENARD



Mi siteketei,siangamii,

singarikishwi uko nami,



Mi siteketei,siangamii,

singarikishwi uko nami,

hukimwi kwa siku, hukimwi kwa mwaka,

unatafsiri majira,huzuiwi na muda,

umejawa na nguvu,ndio maana nakuita baba,

moyoni mwangu,najawa sifa,

na ujasiri katika wewe,

hakuna mlima wa kuniangusha,

ndani yako, ninasimama



Mi siteketei,siangamii,

singarikishwi uko nami,x2



nimezungukwa ,nawe kila pande,

hakuna jambo la kuniangamiza

majeshi yaliyo upande wangu,

ni mengi sana kuliko hawa wa dunia

hatua zangu ,zaongozwa nawe,

siangamii ,siteketei,katika wewe ,ninasimama

siteketei,na ninadumu,



Mi siteketei,siangamii,

singarikishwi uko nami,x2



kwako bwana nasimama,ndiwe mwamba ni salama

kwako bwana nasimama,

we daily believe in you,

we shall stand firm forever,



Mi siteketei,siangamii,

singarikishwi uko nami,x2



available on Telegram Song Lyrics
Related : SITEKETEI LYRICS- ANGEL BENARD.