NIROGE LYRICS - VANESSA MDEE


 

verse 1

mh ,furahia nyuma mwanaume,

wacha nikutunze, nyumba yetu tuipambe,

eh hapo nyuma tukishidiaga mabwede,

karanga na makade,duruda ugali dona sembe,



 (chorus)

husinune kwa maneno ya majira ni wadogo,

hawaishi dogo dogo, ni maneno kama viroboto,

wanakesha wakiomba unichapage mkong'oto

jameni mi sielewi baby you are,

ukimwona furaha tele moyoni,

nikimwona tabasamu usoni,



naomba uniroge x3

(kwani mapenzi matamu)

naomba uniroge x3



 verse 2

siku hizi ,we mwana umeguzwa ,

ulishinda na vikwazo ,tangu mwanzo,

ilipambana nawe hela uwe nazo ili niwe mali yako,

leo kula vyako, you are my dream, in my life,

ata me moyoni we ndio unanifaa,



(chorus)



to te left side to the right,

(my love),kwani mapenzi matamu x2



(chorus)



 to te left side to the right,


available on Telegram Song Lyrics
Related : NIROGE LYRICS - VANESSA MDEE.